Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza ameendelea na burudani ya kucheza
mpira mjini Bujumbura nchini humo.Huku maandamano ya raia kupinga
kugombea kwake awamu ya tatu yakiendelea nchini .Polisi wamekua wakizuia
maandamano hayo na kuuwawa baadhi ya raia.Hata hivyo rais huyo
ameonekana kutojali akiendelea na mambo yake.


Na hapo yuko anaonyesha manjonjo na kupiga contro je?wananchi wana aja na kutazama umaili wa kucheza mpira.